Alichoongea Mbowe Baada Ya Taarifa Kifo Cha Ndesamburo

Mchana wa May 31, 2017 zilisambaa taarifa ambazo zilikuwa zinaeleza kifo cha aliyewahi kuwa Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo maarufu kama Ndesapesa…sasa story ni kwamba Mwenyekiti wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe amekutana na Waandishi wa Habari Dodoma ili kutoa uthibitisho huo.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment