Video :Lissu Na Sugu Bungeni Walipocharuka Jana Bungeni

Wabunge walikuwa wakijadili na kuchangia mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo kwa mwaka wa fedha 2017/2018 na kati ya waliopata nafasi ya kuwasilisha maoni yao ni pamoja na Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment