Breaking:Makonda awashusha vyeo maafisa elimu wa kata 14 Dar


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam PAUL MAKONDA amemwagiza Afisa Elimu wa Mkoa wa Dar es salaam kuwashusha vyeo maafisa elimu wa kata 12 baada ya maafisa hao kushindwa kueleza matumizi ya fedha za posho za madaraka kiasi cha shilingi laki mbili na nusu kila mwezi wanavyozitumia katika kutimiza wajibu wao.
MAKONDA ametoa maagizo hayo katika mkutano wake na Maafisa Elimu, Wakuu wa Shule za Msingi, Sekondari na Maafisa elimu wa Kata.
CHANZO TBC habari
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment