Everton yawashukuru mashabiki wa Tanzania

Msafara wa Everton uliotua juzi jijini Dar es Salaam umewamwagia sifa na  mashabiki pamoja na wapenzi wote waliojitokeza, wakisema ukarimu walioonyesha kwao ni faraja kubwa.

Taarifa waliyoandika kwenye mtandao wa klabu hiyo, ilieleza jinsi ambavyo walipata mapokezi makubwa siku ya kwanza walipowasili nchini.

Walishangazwa kuona watu wengi wakiwa wamevaa fulana za kuwakaribisha, jambo ambalo limewafurahisha kukutana na mashabiki wao jijini Dar es Salaam.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment