Man City wamalizana na Mendy


  • Uhamisho huo utamfanya Mendy kuwa beki ghali zaidi duniani kwa sasa.
  • Nyota huyo wa Monaco amesafiri kwenda Los Angeles kwa lengo la kukamilisha uhamisho huo baada ya klabu hizo mbili kukubaliana kuhusu ada ya uhamisho.
  • London, England. Manchester City imethibisha kukamilisha uhamisho wa pauni 51.6milioni wa beki Benjamin Mendy kutoka Monaco.
 Uhamisho huo utamfanya Mendy kuwa beki ghali zaidi duniani kwa sasa.
Nyota huyo wa Monaco amesafiri kwenda Los Angeles kwa lengo la kukamilisha uhamisho huo baada ya klabu hizo mbili kukubaliana kuhusu ada ya uhamisho.
Mchezaji huyo anamfanya kocha Pep Guardiola kutumia pauni 213.6milioni kwa msimu huu pekee, huku akiwatupia virago mabeki wake  Pablo Zabaleta na Gael Clichy.
Man City tayari imewasajili Bernardo Silva, Ederson, Kyle Walker na Danilo katika lengo lake la kuhakikisha msimu huu anatwaa ubingwa wa Ligi Kuu England pamoja na Ligi ya Mabingwa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment