Video:kamanda Wa Polisi ruvuma akizungumzia kukamatwa kwa katibu mkuu wa CHADEMA



 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma Gemini Mushy

Jeshi la polisi mkoani Ruvuma linawashikilia viongozi 6 wa kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) akiwemo Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Ruvuma kupitia chama hicho ZUBEDA SAKURO , kwa kosa la kufanya mikutano ya hadhara ya kisiasa na kuzua vurugu wilayani Nyasa mkoani Ruvuma.

Hii hapa taarifa yake.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment