Rais Atoa Msamaha Kwa Watu Waliohikumiwa Kunyongwa Na Kifungo Maisha

 
Rais John Magufuli amesaini nyaraka za wafungwa 63 ambapo wafungwa 61 walikuwa wamehukumiwa kunyongwa na wawili kifungo cha maisha.  Nyaraka hizo alizisaini  mbele ya Kamishna Jenerali wa Magereza nchini Dkt. Juma Malewa huko Dodoma.

Katika msamaha huo wamo wanamuziki wawili, Nguza Viking na Papii Kocha waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha maisha na ambao tayari waliachiwa jana.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment