Sherehe Za Kuapishwa Odinga Zaahirishwa

Umoja wa Muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya (NASA), umetangaza kuahirishwa kwa sherehe za kumuapisha kiongozi mkuu wa umoja huo, Raila Odinga na Stephen Kalonzo Musyoka, kama Rais na Makamu wake wa Jamhuri ya Kenya.
Katika taarifa iliyotolewa jana na Muungano huo siku ya jana imeeleza kuwa imeahirisha sherehe hizo hadi itakapotangazwa tarehe hapo baadae.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment