Azam Fc Yatetea Ubingwa Mapinduzi Cup Kwa Njia Ya Penati



Azam Fm wameibuka mabingwa wa Mapinduzi Cup 2018 kwamara ya pili mfululizo baada ya kuigaragaza URA kwenye mchezo wa fainali uliopigwa usiku huu.
Azam wamepata ushindi huo kwa njia ya mikwaju ya penaiti 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa matokeo ya sare ya bila kufungana. 
Kipa wa Azam Razak Abalora  amecheza mikwaju miwili ya URA.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment