WABUNGE WAPIGA KURA KUPITISHA BAJETI LEO


Waziri wa Fedha,Mh. Saada Mkuya akihitimisha Hoja ya Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Fedha, Bungeni Mjini Dodoma Juni 23, 2015.


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akipiga kura ya ndio wakati bunge lilipokuwa likipitisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo. Kulia ni Mbunge wa Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Diana Chilolo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa (kushoto) akijadiliana jambo na Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mh. Mussa Azan Zungu wakati wa kupiga kura bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Mpanda Kati, Mh. Said Arfi, Bungeni mjini Dodoma Juni 23, 2015.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akijadiliana jambo na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wakati wa kupiga kura bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo. Kulia ni Mbunge wa Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Diana Chilolo
.
Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Asiye na Wizara Maalum, Profesa Mark Mwandosya na Mbunge wa Kigoma Mjini,Mh. Peter Serukamba kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 23, 2015.
Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda na wabunge wa Viti Maalum, Mh. Anna Abdallah (kushoto) na Mh. Al Shymaa Kwegyir wakitoka kwenye kumbi wa Bunge mjini Dodoma Juni 23, 2015.(
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment