• Home
  • PARADISE BLOG
  • Contact US
  • MAONI

Tz News Blog

Habari,Matukio,Picha ulimwenguni kote.



  • Home
  • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • Fashion2
  • KIMATAIFA
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • JAMII
  • MICHEZO
  • SIASA
  • MAGAZETI
Home / Uncategories / KAIMU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SOFREMCO

KAIMU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SOFREMCO

11:37 Edit


Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia, Balozi Mwanaidi Maajar wakati wa hafla fupi ya kufunga Mafunzo Maalum ya Maafisa Waandamizi wa Mambo ya Nje (SOFREMCO) iliyofanyika Chuoni hapo Jijini Dar es Salaam hivi karibuni. 
Kaimu Katibu Mkuu, Balozi Kasyanju na Balozi Maajar wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Chuo na Wizara pamoja na Wahitimu wa Mafunzo ya Maafisa Waandamizi wa Mambo ya Nje. 
Baadhi ya wahitimu wa kozi hiyo ya SOFREMCO wakifurahia 
Wahitimu wengine wakiwa wenye nyuso za furaha 
Kundi jingine la wahitimu hao 
Wakufunzi wa Chuo cha Diplomasia wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo 
Wahitimu nao wakipata wasaa wa kujadili namna kozi ilivyokuwa 
Wahitimu wakipata picha za pamoja kwa kumbukumbu 
Picha ya pamoja ya Maafisa waliohitimu Kozi ya Maafisa Waandamizi wa Mambo ya Nje 
Wakifurahia 
Picha zaidi 
Kaimu Katibu Mkuu, Balozi Kasyanju akiongozana na Balozi Maajar na Viongozi wengine mara baada ya hafla fupi ya kuwapongeza Wahitimu wa Mafunzo ya SOFREMCO kukamilika.
Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

RELATED POSTS

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments ( Atom )

VIDEO: MBOWE AKIZUNGUMZIA SAKATA DAWA ZA KULEVYA



ZILIZOSOMWA ZAID WIKI HII

  • NSSF Yapigwa Marufuku Ujenzi wa Miradi Mipya
    Bunge limesimamisha utekelezaji wa miradi yote mipya ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mpaka hapo Kamati na Wi...
  • Lipumba Nusuru Achezee Kichapo Morogoro
    MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amenusurika kupigwa na vi...
  • Takukuru yamkingia kifua Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma
      Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana. Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana, akijieleza mbele ya Bara...
  • Mkuu wa Wilaya Asululisha Ugomvi wa Takukuru na Polisi Ambao Walikunjana Mashati wakigombea Shahidi Mahakamani
    Mkuu wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, Amani Mwenegoha ameingilia kati kwa kuwasuluhisha maofisa wa Takukuru na polisi wa...
  • Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya novemba 17
  • Pitia Vichwa Vya Habari Magazetini Leo Januari,11,2018
    Magazeti
Powered by Blogger.

GLOBU RAFIKI

  • Bongo Blogs - Blog ya Taifa
    Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V - *1. VOA Sauti ya America * www.voaswahili.com *2. Vijimambo* lukemusicfactory.blogspot.com
    10 months ago
  • DEWJIBLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K - Nhà cái VF555 Tặng 128K không chỉ nổi tiếng với sự uy tín mà còn là điểm đến lý tưởng cho những người yêu thích các trò chơi cá cược. Với nhiều chương trìn...
    2 years ago
  • Chadema Blog
    Hotuba ya Lissu; azungumzia kukoma Ubunge, atangaza hatua zinazofuata - Kuangalia unaweza kugonga hapo chini https://youtu.be/PpwHmbRrKoI
    6 years ago
  • Home
  • Portfolio
  • Gallery
  • Archive
    • Dec 2012
    • Jan 2013
    • May 2014
    • Feb 2015
  • Blog
  • About
  • Contact
  • Home

Flickr Images

Labels

  • BURUDANI
  • JAMII
  • KIMATAIFA
  • KITAIFA
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • SIASA
  • UCHUMI

co


Copyright © 2014 Tz News Blog
Blogger Templates