• Home
  • PARADISE BLOG
  • Contact US
  • MAONI

Tz News Blog

Habari,Matukio,Picha ulimwenguni kote.



  • Home
  • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • Fashion2
  • KIMATAIFA
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • JAMII
  • MICHEZO
  • SIASA
  • MAGAZETI
Home / Uncategories / KAIMU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SOFREMCO

KAIMU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SOFREMCO

11:37 Edit


Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia, Balozi Mwanaidi Maajar wakati wa hafla fupi ya kufunga Mafunzo Maalum ya Maafisa Waandamizi wa Mambo ya Nje (SOFREMCO) iliyofanyika Chuoni hapo Jijini Dar es Salaam hivi karibuni. 
Kaimu Katibu Mkuu, Balozi Kasyanju na Balozi Maajar wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Chuo na Wizara pamoja na Wahitimu wa Mafunzo ya Maafisa Waandamizi wa Mambo ya Nje. 
Baadhi ya wahitimu wa kozi hiyo ya SOFREMCO wakifurahia 
Wahitimu wengine wakiwa wenye nyuso za furaha 
Kundi jingine la wahitimu hao 
Wakufunzi wa Chuo cha Diplomasia wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo 
Wahitimu nao wakipata wasaa wa kujadili namna kozi ilivyokuwa 
Wahitimu wakipata picha za pamoja kwa kumbukumbu 
Picha ya pamoja ya Maafisa waliohitimu Kozi ya Maafisa Waandamizi wa Mambo ya Nje 
Wakifurahia 
Picha zaidi 
Kaimu Katibu Mkuu, Balozi Kasyanju akiongozana na Balozi Maajar na Viongozi wengine mara baada ya hafla fupi ya kuwapongeza Wahitimu wa Mafunzo ya SOFREMCO kukamilika.
Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

RELATED POSTS

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments ( Atom )

VIDEO: MBOWE AKIZUNGUMZIA SAKATA DAWA ZA KULEVYA



ZILIZOSOMWA ZAID WIKI HII

  • UANDIKISHAJI BVR DAR WATAWALIWA NA CHANGAMOTO
    Friday, 24 July 2015 ...
  • MAMA JANET MAGUFULI NA MAMA JANET KAGAME WALIPOTEMBELEA BANDA LA EOTF KATIKA MAONESHO YA SABASABA
    ...
  • SHIRIKA LA HABARI LA MAREKANI INERNEWS LAANDAA MAFUNZO YA SIKU TANO KWA WAANDISHI WA HABARI WA ZANZIBAR JUU YA KURIPOTI UCHAGUZI MKUU.
    Mkufunzi  na Mwandishi Mkongwe wa Tasnia ya Habari Zanzibar Salim Said Salim akitoa  mada katika mafunzo  ya  siku tano  juu ya kuandi...
  • Polisi Wanaowalinda Wauza Dawa Za Kulevya Nchini Kuadhibiwa Vikali
    Nkupamah Media: Wananchi wametakiwa kutoa taarifa dhidi ya askari ambao wanadaiwa kuwafumbia macho wanaojihusisha na biashara za da...
  • IKULU Yakanusha taarifa FEKI Inayosambazwa Mitandaoni kuhusu Rais Magufuli
    Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa ametahadharisha umma kuhusu habari hii bandia inayosambazwa kw...
  • UJUMBE WA SHIRIKA LA NYUMBA UGANDA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO NHC TANZANIA
    @nkupamah blog     Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa Mtenda...
  • Polisi Yaua Majambazi Wanne Katika Mapango ya Amboni Tanga
    Watu wanne wameuawa katika mapambano na polisi yaliyotokea kwenye mapango ya Amboni mjini Tamga, eneo ambalo polisi mmoja ali...
  • CHADEMA -RAY MBOYA KUPEPERUSHA BENDERA YA NAFASI YA MEYA MANISPAA YA MOSHI
      @nkupamah on December 1, 2015 Msimamizi wa Uchaguzi wa nafasi ya Meya ndani ya chama cha Demokras...
  • LWANDAMINA AWATEMA BOSSOU,NGOMA,DANTE NA BUSUNGU SAFARI YA COMORO
    Kikosi cha Yanga SC kinatarajiwa kuondoka Alfajiri ya kesho asubui kuelekea nchini Comoro kwenye mji wa Moroni  tay...
  • Kamishna Wa Jeshi La Polisi Zanzibar Azungumza Na Wandishi Wa Habari Juu Ya Milipuko Ya Mabomu Inayotokea Unguja Na Pemba
    Na Mwashungi Tahir na miza Kona – Maelezo Zanzibar     Nyumba ya Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame im...
Powered by Blogger.

GLOBU RAFIKI

  • Bongo Blogs - Blog ya Taifa
    Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V - *1. VOA Sauti ya America * www.voaswahili.com *2. Vijimambo* lukemusicfactory.blogspot.com
    1 year ago
  • DEWJIBLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K - Nhà cái VF555 Tặng 128K không chỉ nổi tiếng với sự uy tín mà còn là điểm đến lý tưởng cho những người yêu thích các trò chơi cá cược. Với nhiều chương trìn...
    2 years ago
  • Chadema Blog
    Hotuba ya Lissu; azungumzia kukoma Ubunge, atangaza hatua zinazofuata - Kuangalia unaweza kugonga hapo chini https://youtu.be/PpwHmbRrKoI
    6 years ago
  • Home
  • Portfolio
  • Gallery
  • Archive
    • Dec 2012
    • Jan 2013
    • May 2014
    • Feb 2015
  • Blog
  • About
  • Contact
  • Home

Flickr Images

Labels

  • BURUDANI
  • JAMII
  • KIMATAIFA
  • KITAIFA
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • SIASA
  • UCHUMI

co


Copyright © 2014 Tz News Blog
Blogger Templates