MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM ASHIRIKI KAMPENI MAALUM YA KUWACHANGIA WANAHABARI

1
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Paul Makonda akiongeza na washiriki katika tukio la kuchangia mfuko kwa ajili ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani ambapo alisema kuwa wamiliki wa vyombo vya habari hawana budi kuwajali wanahabari na kuwapatia huduma muhimu ikiwemo Mikataba ya Kazi pamoja na Bima za matibabu ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi na uadilifu, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. kulia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick na Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
2
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Said Meck Sadick akiongeza na washiriki katika tukio la kuchangia mfuko kwa ajili wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani ambapo aliipongeza kamati iliyoratibu shughuli hiyo kwa manufaa ya waandishi wa habari na kuwataka kuukuza umoja huo kwa manufaa ya wanahabari na umuhimu wa wanahabari katika jamii ya Kitanzania na Duniani kwa ujumla.Kulia ni Mwenyekiti wa Kampeni hiyo iliyolenga kupata fedha kwa ajili ya kuwasaidia wanahabari wanaougua magonjwa sugu Bw. Benjamin Thompson.
3
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene akimkabidhi Mwenyekiti wa kampeni hiyo Bw. Benjamin Thompson fedha zilizochangwa na Maafisa Habari wa Taasisi za Serikali kwa ajili ya kuwasaidia wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Paul Makonda.
4
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Said Meck Sadick akiosha gari kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani, leo katika viwanja wa Leaders Jijini Dar es Salaam.
5
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Zubeir Kabwe akiosha gari kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani, leo katika viwanja wa Leaders Jijini Dar es Salaam.
6
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene akiosha gari kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani, leo katika viwanja wa Leaders Jijini Dar es Salaam.
7
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Paul Makonda akiosha gari kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani, leo katika viwanja wa Leaders Jijini Dar es Salaam.
8
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Said Meck Sadick akisalimia na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Zubeir Kabwe walipokutana katika kampeni ya kuosha magari ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani, leo katika viwanja wa Leaders Jijini Dar es Salaam.
9
Baadhi ya wanahabari na Maafisa Habari wa Taasisi za Serikali wakiwa katika picha ya pamoja katika kampeni ya kuosha magari ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani, leo katika viwanja wa Leaders Jijini Dar es Salaa
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment