RAIS KIKWETE AVUNJA BUNGE RASMI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia Bunge la Tanzania na hatimae kulifunga. Kulia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Anna Makinda. (Picha na Joseph Senga)
 Spika wa Bunge Anne Makinda akimuongoza Rais Jakaya Kikwete kuingia katika ukumbi wa Bunge.
Kutoka kushoto ni Waziriu Mkuu mstaafu, Joseph Sinde Warioba, Waziri Mkuu mstaafu, Salim Ahmed Salim, Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na Rais mstaafu wa awamu ta pili, Ali Hassan Mwinyi wakifuatilia hotuba ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa kuvunja Bunge mjini Dodoma.
 Rais Kikwete akitoka mara baada ya kulivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi na Rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa.
Wimbo wa taifa ukipigwa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment