WATU 14 WAUAWA NA AL-SHABAAB NCHINI KENYA

  • Written by Nkupamah b

Maofisa wa polisi wakiwa eneo la tukio lilipotokea shambulio lililoua watu 14 usiku wa kuamkia leo.

Takribani watu 14 wameuawa, 11 wakijeruhiwa baada ya Al-Shabaab kushambulia kijiji cha Soko Mbuzi kilichopo jirani na Mji wa Mandera nchini Kenya usiku wa kuamkia leo. Mamlaka husika huko Mandera yathibitisha.
Mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa shambulio lilitokea saa 7 usiku wa kuamkia leo wakati wakazi wa Kijiji cha Soko Mbuzi wakiwa wamelala.
Shambulio hilo limeelezwa kuwalenga wafanyakazi wa machimboni ambao wengi wao siyo wenyeji.

Taswira kutoka Kijiji cha Soko Mbuzi lilipotokea shambulio.

Wananchi wakiwa eneo hilo la tukio.
(Picha zote na Daily Nation)
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment