ESAURP yaandaa mafunzo kwa wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Mbeya

DSC_0554

Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika (ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.(Picha Emanuel Madafa Mbeya wa JAMIIMOJABLOG).
DSC_0606
Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika mafunzo hayo ya siku tano yaliyolenga kuwapatia wajasiriamli hao Ujuzi, Mbinu, maarifa pamoja na stadi za biashara ili kuwezesha ukuaji wa biashara zao.
DSC_0572
Baadhi ya wajasirimali kutoka maeneo tofauti tofauti Mkoani mbeya wakiendelea kupatiwa mafunzo.

DSC_0611
Mmoja wa walimu katika mafunzo hayo Ndugu Upendo Mwinuka akizungumza na wajasirimali hao (hawapo pichani).
Afisa Mikopo kutoka Benki ya Posta Tanzania Mbeya( TPB) Ndugu Tresphory  Mtwele akizungumza na wajasirimali hao ili kuwashawishi kujiunga katika vikundi ili waweze kupatiwa mikopo ya riba nafuu na benki hiyo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment