Kampuni ya Tigo yapata Tuzo ya Maonesho ya Nanenane Kitaifa Mkoani Lindi

unnamed (79)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo ya ushindi wa kwanza ya kipengele cha mawasiliano kwa Meneja wa Mauzo wa Tigo mkoani Lindi, Eric Stephen kwenye maonesho ya Nanenane yaliyofanyika kitaifa Mkoani Lindi mwishoni mwa wiki.
unnamed (80)
Meneja wa Mauzo wa Tigo mkoani Lindi, Eric Stephen(kulia) na Afisa Utawala Tigo Lindi, Jacob Masawe  wakipozi na kombe walilopata la tuzo ya ushindi wa kwanza ya kipengele cha mawasiliano kwenye maonesho ya Nanenane.
unnamed (81)
Afisa Utawala Tigo Lindi, Jacob Masawe(kushoto),Meneja wa Mauzo wa Tigo mkoani Lindi, Eric Stephen(katikati) na Meneja wa Tigo kanda ya Pwani Kusini mikoa ya Lindi na Mtwara,  Nderingo Materu wakipozi kwenye picha ya pamoja.
unnamed (82)
Meneja wa Mauzo wa Tigo mkoani Lindi, Eric Stephen akinyanyua kombe juu.
unnamed (83)
Meneja wa Mauzo wa Tigo mkoani Lindi, Eric Stephen akiwa kwenye picha ya pamoja na kikundi cha burudani
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment