MAADHIMISHO YA WIKI NENDA KWA USALAMA BARABARANI YAFANYIKA MKOA WA KIPOLISI TEMEKE

 Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya Usalama Barabarani, Thabeet Massa akimkaribisha mgeni rasmi katika mazimisho ya wiki ya nenda kwa Barabarani  yaliyofanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Temeke jijini Dar es Salaam leo.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Mkowa wa Temeke, Endrew Satta akihutubia wananchi juu ya kuendesha  kwa usalama ili kuokoa maisha katika wiki ya nenda kwa Barabarani iliyofanyika katika Mwembe yanga Temeke jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke, Endrew Satta akiwakabidhi vyeti baadhi ya madereva wa bodaboda waliofuzu mafuzo ya Pikipiki katika wiki ya nenda kwa Barabarani iliyofanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Temeke jijini Dar es Salaam leo.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Mkowa wa Temeke, Endrew Satta akitembelea mabanda ya maonyesho ya wiki ya nenda kwa usalama Barabarani iliyofanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Temeke jijini Dar es Salaam leo.
Umoja wa waendesha  Pikipiki  Temeke (UWAPITE) wakiwa kwenye picha ya pamoja katika vianja vya Mwembeyanga katika maazimisho ya wiki ya nenda kwa usalama Barabarani
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment