Ziara hiyo ni kwa
ajili ya kukagua utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliyeagiza fedha
zilizochangwa ajili ya hafla ya wabunge zitumike kununulia vitanda vya
wagonjwa katika hospitali hiyo.
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasilino, IKULU
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasilino, IKULU
20 Novemba, 2015


0 comments :
Post a Comment