Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dkt. Salim Ahmed Salim, akimtunuku
muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work) Dar es Salaam, Beatrice Mugula ambae ni Mkuu wa Idara
Ustawi wa Jamii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (PICHA ZOTE NA
KHAMISI MUSSA)
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katika pozi mara baada ya kuhitimu
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katika pozi mara baada ya kuhitimu
Muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work) Mwanaidi Nyalukunyo akiwa katika pozi
Muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work) Mwanaidi Nyalukunyo akiwa na tabasam
Baadhi ya wahitimu wa Kozi ya Uuguzi wakila Kiapo
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dkt. Salim Ahmed Salim, akimkabidhi cheti
muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work) Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work) Beatrice Mugula ambae ni Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
Social Work) Beatrice Mugula ambae ni Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
Beatrice
Mugula, akiwapa mikono baadhi ya viongozi waliopo meza kuu mara baada
ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work) katika Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akivaa kofi yake mara baada ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work)
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akivaa kofi yake mara baada ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work)
Mkuu
wa Idara Ustawi wa Jamii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar
es Slaam, Beatrice Mugula (wa pili kulia) akiwa na wenzake akipiga
makofi mara baada ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa
jamii (Master of Social Work)
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work) katika Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work) katika Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katiki pozi na muhitimu mwenzake wa fani hiyo, Mwanaidi Nyalukunyo
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katiki pozi na muhitimu mwenzake wa fani hiyo, Mwanaidi Nyalukunyo
Muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work) Mwanaidi Nyalukunyo akiwa katika picha ya pamoja na familia
yake


0 comments :
Post a Comment