Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana Viongozi wa Chuo
Kikuu cha Tunguu Zanzibar alipohudhuria katika mahfali ya kumi na tatu
Chuoni hapo leo Tunguu wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja.[Picha na
Ikulu.]
Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya Uzamili katika Utawala na Biashara Chuo
Kikuu cha Tunguu Zanzibar wakiwa mstari wakati wa kutunukiwa shada zao
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani akiwa mgeni rasmi katikamahfali ya kumi na tatu Chuoni hapo leo Tunguu wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja.[Picha na Ikulu.]
Viongozi mbali mbali wa Serikali na waalimu wakiwa katika sherehe
za mahfali ya Kumi na tatu katika Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu Wilaya
ya Kati Mkoa wa
Kusini Unguja yaliyofanyika leo Chuoni hapo,[Picha na
Ikulu.]
Wananchi waliohudhuria katika sherehe
za mahfali ya Kumi na tatu katika Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu Wilaya
ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja yaliyofanyika leo Chuoni hapo,
wakishuhudia ndugu zao na watoto wao wakitunukiwa Shahada, Vyeti na
Digirii katika sherehe hizo,[Picha na Ikulu.]

baadhi ya wahitimu wa shahada ya biashara Hesabu na Fedha wakiwa katika sherehe ya Mahfali ya kumi na tatu chuoni hapo leo,walipotunukuwa mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akimtunuku Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara mwanafunzi Jaha
Haji Khamis katika sherehe ya Mahfali ya kumi na tatu Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu yaliyofanyika leo chuoni hapo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akimtunuku Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara mwanafunzi Marium
Hamad Maulid katika sherehe ya Mahfali ya kumi na tatu Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu yaliyofanyika leo chuoni hapo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akimkabidhi Cheti na zawadi ya fedha taslim mwanafunzi bora wa Sheria
Wahabi Paisson Shaibu kutoka Malawi katika sherehe ya Mahfali ya kumi na tatu Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu yaliyofanyika leo chuonihapo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akimkabidhi cheti na zawadi Mwalimu Dr.Sowed Juma Mayanya kutoka Uganda
katika sherehe ya Mahfali ya kumi na tatu Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu yaliyofanyika leo chuoni hapo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akipokea zawadi kutoka wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu,pia
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Prof.Suleiman Bin- Nassry Basahal wakati
wa sherehe ya Mahfali ya kumi na tatu iliyofanyika leochuoni hapo,[Picha na Ikulu.]
0 comments :
Post a Comment