MAJALIWA AHITIMISHA ZIARA YA MKOA WA KIGOMA

hit1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi na watumishi wa mkoa wa Kigoma  kwenye ukumbi wa NSSF katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya siku mbili mkoani humo Desemba 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hit2
 Baadhi ya watumishi na viongozi wa mkoa wa Kigoma wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majliwa katika Kikao cha Majumuisho ya ziara yake mkoani humo kwenye ukumbi wa
NSSF Desemba 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hit3 hit5
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   akizungumza na baadhi ya watumishi na viongozi wa mkoa wa Kigoma  katika Kikao cha Majumuisho ya ziara yake mkoani humo kwenye ukumbi wa NSSF Desemba 30, 2015.Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo, Issa Machibya, Wapili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Kigoma Walid Kabourou na watatu kulia ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandishi Dkt. John Ndunguru (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hit6
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akifurahia burudani ya ngoma na kwaya kabla ya kuondoka kwenye ukwanja wa ndege wa Kigoma kurejea Dar es salaam Desemba 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment