LONDON,England
Meneja mpya wa klabu ya Chelsea Guus Hiddink, amekitaka Kikosi chake kuwa makini na kuzingatia uwepo wao katika Timu hiyo.
Hiddink aliteuliwa Wiki iliyopita kumbadili Jose Mourinho alietimuliwa na kupewa wadhifa huu hadi mwishoni
mwa Msimu huu.Hiddink aliteuliwa Wiki iliyopita kumbadili Jose Mourinho alietimuliwa na kupewa wadhifa huu hadi mwishoni
Chelsea ambao ni Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu England hadi sasa wapo Nafasi ya 15 baada ya kucheza Mechi 17 .
amesema kimahesabu chelsea inawza
kumaliza katika nafasi ya nne Msimu huu ili icheze UEFA Champion Ligi
Msimu ujao lakini ni kazi ngumu.
Hii ni mara ya pili kwa Hiddink kutua
Chelsea mara ya kwanza ilikuwa Msimu wa 2008/09 alipotimuliwa Luiz
Felipe Scolari na yeye kushika wadhifa wa Umeneja kwa Miezi Mitatu ya
mwisho akiwasaidia Chelsea kutwaa FA CUP, kufika Nusu Fainali ya UEFA
Champion Ligi na kumaliza Nafasi ya tatu kwenye Ligi wakiwa na Pointi
saba nyuma ya Manchester United.


0 comments :
Post a Comment