MICHEZO :VAN GAAL ASEMA BAADA YA WIKI NNE SI AJABU WAKAWA NAMBA MOJA.

Nkupamah media

MANCHESTER,England

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal ambaye kwa sasa yuko katika hali mbaya ndani ya klabu hiyo kutokana na matokeo mabovu ya timu hiyo amezungumza kwa
ukali dhidi ya waandishi wa habari kupitia Mahojiano na Wanahabari hao kuelekea mchezo wa Jumamosi na Timu ya Stoke City.
Kupitia mahojino hayo Van Gaal alisema najua mtaandika yote hayo,na kwa Sasa hatupo kwenye nafasi nzuri lakini kumbukeni Wiki nne zilizopita tulikuwa Namba moja kwenye Ligi na baada ya Wiki nne tunaweza kuwa wa Kwanza tena.
Mwisho Vaan Gaal aliwaambia Waandishi katika mkutano huo kuwa Nawatakia Krismasi njema na Mwaka Mpya mwema , na Furahieni Mvinyo na Mikate pamoja na Nyama ya Kusaga.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment