MUZIKI:ALIKIBA KUTOA 10% YA MAPATO YA SHOW YAKE KUSADIA WATOTO

Nkupamah media


Msanii mwenye kipawa cha kuimba nchini Tanzania Ali Kiba anatarajia kusherekea mwaka mmoja tangu aliporudi kwenye ramani ya muziki baada ya kupotea kwa muda wa miaka mitatu, Alikiba anataraji kufanya
onyesho la kufunga mwaka siku ya Boxing Day Disemba 26 kwa kutumbuiza nyimbo zake kali huku akiwa na band yake.kiba2
Katika kuelekea sikukuu watu maarufu hujitahidi kuonesha furaha zao kusherekea na watu mbalimbali wasio kuwa na uwezo, kwa upande wake Alikiba ameamua  kutoa asilimia kumi ya mapato kwenye onyesho lake kusaidia watoto yatima kupitia Foundation ya mtangazaji Diva the Bawse iitwayo Diva Foundation ambapo fedha zote zitapelekwa kwenye mfuko wa Diva Giving for Charity.19
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment