Mtangazaji na msanii wa kundi la muziki
wa dansi la Mapacha Watatu ameeleza kuwa katika maisha yake ya kimuziki
aliwahi kutunzwa kiasi cha dola 1000 za kimarekani na kuongeza kuwa
katika
utunzwaji wa wasanii kunachangamoto mbalimbali ambazo usipokuwa
makini unaweza kujikuta unamsaliti mkeo au mpenzi wako.-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments :
Post a Comment