Nkupamah media
Wanamadrasa
wakipiga dufu kukaribisha wageni na Viongozi wakati wa sherehe za
Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana
katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja ambayo hufanyika kila
mwaka.
[Picha zote na Ikulu.]
Makamo
wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt.Mohammed Gharib
Bilali akisalimiana na Sheikh Kassim Haidar Jabir mjumbe wa Kamati ya
Maandalizi alipowasili katika sherehe
za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika
jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na viongozi mbali mbali alipowasili katika sherehe
za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika
jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein akisalimiana na Mwanasheria Mkuu Zanzibar Sheikh Said Hassan Said
pamoja na viongozi mbali mbali alipowasili katika sherehe za Maulidi
Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika
uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein akisalimiana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif
Sharif Hamad alipowasili katika sherehe
za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika
jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (wa pili kulia) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji Khamis, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad (kushoto) na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali wakiwa katika sherehe
za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika
jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (wa pili kulia) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji Khamis,
Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad (kushoto)
na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali pamoja na Viongozi wengine wakiwa katika
sherehe za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W)
yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Mke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) akiangalia ratiba
ya Maulidi ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana
katika Viwanja vya Maisara Suleiman Mjini Unguja akiwa Viongozi mbali
mbali na wananchi,
Baadhi ya Akina Mama wa Kiisalmu wakiwa katika sherehe
za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika
jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja ambayo hufanyika
kila mwaka.
Wanafunzi wa Madrasa mbali mbali za Zanzibar wakiwa katika sherehe
za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika
jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja,ambapo mgeni rasmi
alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein.
Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji Khamis alipokuwa akitoa historia fupi wakati wa ufunguzi wa sherehe za
Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja,ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akiwa ndio mgeni rasmi katika sherehe hiyo.
Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja,ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akiwa ndio mgeni rasmi katika sherehe hiyo.
Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji Khamis alipokuwa akitia ubani kama ishara ya kuyafungua Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W)
sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman mjini Unguja
jana na kuhudhuriwa na waislamu kutoka Mjini na Mashamba,(kushoto) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akishuhudia ufunguzi huo
Ustadh Juma Seif Said Hamad kutoka Mkoa wa Kaskazini Unguja akisoama Qur’aan Tukufu Surah Luqman Aya 33hadi 34 za ufunguzi wa Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Wanafunzi wa Madrasat Nurul Islamia ya Jang’ombe -Mkoa wa Mjini wakisoma Qasweeda baada ya mlango wa kwanza wa sherehe
za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika
jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Ustadh Rashid Hamadi Bakari kutoka Muungoni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja akisoma mlango wa kwanza wa Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) pamoja na Viongozi mbali mbali wakisiamama kumswalia
Mtume wakati wa Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwake Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) akitiliwa marashi pamoja na Viongozi mbali mbali wakati
wa kumswalia Mtume katika sherehe za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwake Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) pamoja na Wake wa Viongozimbali mbali wakisimama kumswalia Mtume wakati wa Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwake Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika viwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Wanafunzi wa Madrasa mbali mbali na wananchi wakisiama wakati wa kumswalia Mtume (S.A.W) katika sherehe za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwake zilizofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein akipokea zawadi kutoka kwa Sheikh Sherali Champs Mshauri Mkuu wa
kamati ya Maandalizi ya Maulidi Makuu ya Mtume Muhammad (S.A.W) wakati
wa sherehe ya kusomwa maulidi hayo jana katika viwanja vya Maisara
Suleiman Mjini Unguja.
Wanafunzi wa Madressatul Mtendeni Mjini Zanzibar wakisoma Maulid ya Hom wakati wa sherehe za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Ustadh Nassor Seif Rashid wa Kibanda hatari Mkoa wa Mjini akisoama Barazanj Mlango wa Nne wa Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Makamo Makamo wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt.Mohammed Gharib Bilali alipowasili katika sherehe
za Maulidi Makuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika
jana katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja,
[Picha na Ikulu.]


0 comments :
Post a Comment