UNAJUA NYALANDU KATOA KAULI GANI MARA BAADA YA WIZARA YAKE KUTEULIWA PROF MAGHEMBE?

Nkupamah media


DAR ES SALAAM

Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya awamu ya nne,Mhe Lazaro Nyalandu amefunguka na
kumtikia kila la kheri mrithi wake katika nafasi hiyo Pro Jumanne Maghembe ambaye ameteuliwa jana na Rais Dr Magufuli kushika wadhifa huo.
 Katika pongezi zake ambazo amezitoa kupitia ukurasa wake rasmi wa twitter,Mhe Nyalandu ambaye ni mbunge ,amesema kuwa anamtakia Pro Maghembe utumishi mwema katika Wizara hiyo
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment