Mashindano ya Michezo ya Wanafunzi wa Vyuo vikuu yafunguliwa Rasmi jijini Dar es Salaam.

leo1

Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na
Michezo Bw.Leonard Tadeo akikabidhi Jezi kwa moja ya timu zinazoshiriki katika mashindano ya michezo yanayohusisha wanafunzi  wa vyuo vikuu  leo jijini Dar es Salaam.Wa kwanza kulia kwake ni mwenyekiti wa shirikisho la vyuo vikuu mkoa wa Dar es Salaam Bw.Imani Matabula.
leo2
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Leonard Tadeo akikagua timu ya chuo kikuu cha Dar es salaam wanaokaa  Chuoni wakati wa ufunguzi wa mashindano ya michezo ya  vyuo vikuu yanayofanyika katika viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha Dar es Salaam.
leo3

Mwenyekiti wa shirikisho la vyuo vikuu mkoa wa Dar es Salaam Bw.Imani Matabula(aliyesimama) akimkaribisha Mkurugenzi wa Idara ya Michezo kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Leonard Tadeo(kushoto) wakati wa ufunguzi  wa mashindano ya michezo ya  vyuo vikuu yanayofanyika katika viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha Dar es SalaamKA WA BUNGE

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment