Waondoeni viongozi wote wa ANC ni Mafisadi, asema Goldberg
Mwanaharakati
maarufu wa Afrika Kusini, Denis Goldberg, ametoa wito kuwa viongozi wa
chama
tawala cha ANC, waondoshwe madarakani.Bwana Goldberg alifikishwa mahakamani pamoja na Nelson Mandela, na kutumikia kifungo cha miaka
Lakin baada ya tathmini yake ya hali ya kisiasa ilivyo nchini Afrika Kusini, bwana Goldberg ameiambia idhaa ya BBC kuwa daraja zote za uongozi wa ANC, kutoka majimboni hadi ngazi za taifa, umehusika na rushwa.
Goldberg anasema tamaa ya viongozi wa ngazi zote za ANC za kujilimbikizia mali inawanyima raia wa Afrika Kusini uhuru
Kigogo huyo wa kisiasa mwenye ushawishi mkubwa ,alisema lengo lao la kujitajirisha kwa haraka kumewanyima wa-Afrika Kusini uhuru wao.
0 comments :
Post a Comment