Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ahudhuria Kilele cha Sherehe za kutimiza miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar

PO1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipigiwa Wimbo wa Taifa katika kilele cha Sherehe za kutimiza Miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
zilizofanyika katika uwanja wa Amani, Zanzibar
PO2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia mamia ya wananchi (hawapo pichani) katika kilele cha Sherehe za kutimiza Miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
PO3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifuatilia kwa makini matukio mbalimbali katika kilele cha Sherehe hizo za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika uwanja wa Aman.
PO4
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein katika Sherehe hizo.
PO5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein wakiangalia gwaride la heshima lililokuwa likipita mbele yao katika kilele cha Sherehe za kutimiza Miaka 52 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.
PO6
Vikosi vya Majeshi ya Ulinzi na Usalama vikitoa heshima mbele ya Mgeni Rasmi.
PO7
Vikosi vya Majeshi ya Ulinzi na Usalama vikitoa heshima mbele ya Mgeni Rasmi.
PO8
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka kwenye Uwanja wa Aman, Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa Sherehe za Miaka 52 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.PICHA NA IKULU
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment