Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheinakikagua gwaride la Vikosi vya Ulinzi liliandaliwa rasmi katika
kilele cha sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar,zilizofanyika leo katika
Uwanja wa Amaan Studium Mjini
Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheinakisalimiana na
Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi wakati wa kilele cha sherehe za
miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika
Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheinakisalimiana na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli wakati
wa kilele cha sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini
Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili katika kilele cha sherehe za
miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika
Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiteta na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli wakati wa kilele cha
sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo
katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Askari wakitoa heshim kwa Rais
w Zanzibar katika gwaride la miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
lililofanyika kwenye uwanja wa Aman mjini Zanzibar Januari 12, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
Askari wakitoa heshim kwa Rais
w Zanzibar katika gwaride la miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
lililofanyika kwenye uwanja wa Aman mjini Zanzibar Januari 12, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
Askari wakitoa heshim kwa Rais
w Zanzibar katika gwaride la miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
lililofanyika kwenye uwanja wa Aman mjini Zanzibar Januari 12, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa
akiteta na Rais Mstafu Ali Hassn Mwinyi katika sherehe za Mapinduzi ya
Zanzibar kwenye uwanja wa Aman Janiar 12, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)


0 comments :
Post a Comment