RAIS WA ZANZIBAR DK ALI MOHAMMED SHEIN AWEKA MAWE YA MSINGI JENGO MAMA NA MTOTO NA JENGO LA WATOTO ZANZIBAR

IN1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akisalimiana na Naibu Waziri wa Afya Mohammed Thabit Kombo wakati alipowasili katika hafla ya Uwekaji wa
Mawe ya Msingi katika Jengo la Watoto na Mama na Mtoto mnazi mmoja Hospitali Zanzibar.Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
IN2
-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akikunjuwa kitambaa ikiwa ni ishara ya Uwekaji wa Jiwe la msingi katika Jengo la Mama na Mtoto na baadae kuweka jiwe la Msingi katika Jengo la Watoto hapohapo Mnazi mmoja Hospitali Zanzibar,ikiwa ni Shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
IN3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akipata maelezo ya ramani ya Jengo la Mama na Mtoto kutoka kwa mkandarasi wa Wizara ya Afya Mathna Kassim Marin baada ya kuweka jiwe la msingi na kulitembelea mnazi mmoja Hospitali.Ikiwa ni shamra shamra za Sherehe ya kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
IN4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein katikati akionesha ishara ya jambo alipokuwa akitembelea Majengo ya Mama na Mtoto na jengo la watoto baada ya kuyawekea mawe ya msingi Mnazi mmoja Hospital.Ikiwa ni shamra shamra za Sherehe ya kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
IN5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba ya Uwekaji wa Mawe ya msingi ya majengo ya Mama na Mtoto na jengo la watoto Mnazi mmoja Hospital.Ikiwa ni shamra shamra za Sherehe ya kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment