Serikali yafungua zabuni ya mfumo wa utoaji tiba kwa njia ya kielektroniki

SONY DSC
Mshauri Mwelekezi wa masuala ya ununuzi Ofisi ya Rais – Utumishi Bw. Jones Mapunda (kulia) akifafanua jambo wakati wa ufunguzi wa zabuni ya Mfumo wa Utoaji
Tiba kwa Njia ya Kielektroniki mapema leo.
SONY DSC
Mshauri Mwelekezi wa masuala ya ununuzi Ofisi ya Rais – Utumishi Bw. Jones Mapunda (kulia) akisoma moja ya zabuni wakati wa ufunguzi wa zabuni ya Mfumo wa Ununuzi kwa Njia ya Kielektroniki Tanzania mapema leo.
SONY DSC
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt.Laurean J. Ndumbaro (kushoto) akizungumza na watumishi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu-Utumishi (hawapo pichani) wakati wa kikao chake na Idara hiyo mapema leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara hiyo Bw. Aloyce Msigwa.
SONY DSC
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt.Laurean J. Ndumbaro (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu(Utumishi) Bw. Aloyce Msigwa wakati wa kikao chake na Idara hiyo mapema leo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment