Shamsa Ford Akasirika Baada ya Nay wa Mitego Kumpost na Kumtakia Happy Valentines Day...Amtaka Ajiheshimu

Nkupamah media:

Shamsaford 
"Naona mambo yanazidi kuvumishwa kwamba nimerudiana na nay. Pls pls nina maisha yangu na mwanaume ambae nampenda na kumuheshimu. ..sijarudiana na nay na haiwezi kutokea kabisaaa. ..Nay una ndugu na marafiki wengi wa kuwaposti siku ya leo haikuwa muhimu uniposti mimi.nilishukuru Mungu watu walishasahau kuhusu mimi na ww but naona umetaka kuyafufua. Sipendi scandal na si maisha yangu kutafuta kiki za kijinga. KAZI YANGU NDO INAYONITAMBULISHA. ..PLS TUESHIMIANE" Shamsa Ford
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment