Sultan Idriss Awaomba Radhi Mashabiki Kwa Niaba ya Wema Sepetu Baada ya Wema Kukacha Kutokea Club Billz Jana

Usiku wa Jana Mrembo Wema Sepetu Alitakiwa Kuwepo Club Billz kujumuika na mashabiki wake lakini hakuweza tokea, Japo Club ilifurika mbaya baada ya taarifa kuwa Wema Atakuwepo...Idriss Sultan Asubuhi hii Ameandika Haya Kwenye Ukurasa wake wa Instagram

Idrissultan
 "Asanteni sana for all the major love and support mmeonyesha Billz ilikua ni  mmetisha sanaa.
I apologize kwa niaba ya wa ubavu wangu kutokufika mnilaumu mimi si mnajua tena tarehe 14 niliamka na usongo  ila anapumua bado "
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment