TASWIRA MBALI MBALI ONYESHO LA MITINDO LA LADY IN RED JIJINI LONDON

nkupamah media:

 Lady in Red iliyofanyika siku ya Jumamosi Februari 13, 2016 jijini London, uingereza maalum kwa siku ya wapendanao iliyoandaliwa na ClubMalibu na kufanywa na mama nguli wa mitindo Asya Idarous Khamsini huku ikinogeshwa na msanii wa Bongo Flava Rich Mavoko.
 Mlimbwende akipita mbele ya mashabiki wa mitindo jijini London kwenye onesho la Lady in Red ililofanywa na mama mitindo nguli Asya Idarous Khamsini mwenye maskani yake mji wa Houston jimbo la Texas, Onesho hilo lililohudhuriwa na mashabiki wa mitindo jijini London lilinogeshwa na msanii wa Bongo Flava Rich Mavoko.
 Walimbwende wakipita mbele ya mashabiki wa mitindo.







Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment