Maalim Seif Sharif Hamad azungumzia hali ya afya yake leo

Nkupamah media:

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na waandishi wa habari katika hospitali ya Hindu Mandal Jijini Dar es Salaam kuelezea maendeleo ya afya yake.

Amesema anaendelea vyema baada ya jana kuugua ghafla na kulazwa katika hospitali hiyo.

Amewashukuru wananchi ndani na nje ya nchi kwa kuonesha mapenzi na ushirikiano makubwa.

Anatarajiwa kutoka hospitalini hapo leo jioni (Picha na Salmin Said, OMKR)

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment