Katibu Tawala Wilaya ya Nyamagana
Mkoani Mwanza Marcella Mayalla, akifungua Warsha ya Siku mbili kwa
Wanahabari Kuhusu El-Nino na athari zake katika Mvua hapa nchini,
iliyofanyika hii leo Jijini Mwanza. Mayalla amefungua Warsha hiyo kwa
niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.
…………………………………………………………………………………
Na:George Binagi-GB Pazzo
Katika
Warsha hiyo, Taasisi mbalimbali pamoja na Wanajamii, zimehimizwa
kutumia taarifa za Utabiri wa Hali ya Hewa kwa ajili ya Mipango ya
Maendeleo.
Pia
Wanahabari ambao ni kiunganishi Muhimu katika upashanaji wa habari,
wametakiwa kutumia nafasi yao katika kutoa taarifa hizo kwa wananchi
ikizingatiwa kwamba, taarifa za utabiri wa hali ya hewa zikiwafikia
walengwa kwa wakati, husaidia kujikinga na maafa yatokanayo na
mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo Mafuriko na ukame.
Warsha
hiyo imeandaliwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), kwa
ushirikiano wa karibu na Mamlaka ya Hali ya Hewa Duniani (WMO) ikiwa ni
katika mpango wake wa Kidunia katika kuboresha upatikanaji wa taarifa za
hali ya hewa ujulikanao kama Global Framework For Climate Services
(GFCS).
Katibu
Tawala Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza Marcella Mayalla, akifungua
Warsha ya Wanahabari Kuhusu El-Nino na athari zake katika Mvua hapa
nchini, iliyofanyika hii leo Jijini Mwanza. Mayalla amefungua Warsha hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) Dkt.Agness Kijazi akizungumza katika Ufunguzi wa Warsha ya siku mbili kwa Wanahabari Kuhusu El-Nino na athari zake katika Mvua hapa nchini, iliyofanyika hii leo Jijini Mwanza.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) Dkt.Agness Kijazi akizungumza katika Ufunguzi wa Warsha ya siku mbili kwa Wanahabari Kuhusu El-Nino na athari zake katika Mvua hapa nchini, iliyofanyika hii leo Jijini Mwanza.
Kulia ni Meneja wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Kanda ya Ziwa, Augustino Nduganda akitoa neno la Shukrani baada ya Ufunguzi wa Semna kwa Wanahabari Kuhusu El-Nino na athari zake katika Mvua hapa nchini.
Wengine
kutoka Kushoto ni Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri wa Hali ya Hewa
nchini, Hamza Kabelwa, Katibu Tawala Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza
Marcella Mayalla, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) Dkt.Agness Kijazi.
Warsha ya Wanahabari Kuhusu El-Nino na athari zake katika Mvua hapa nchini, iliyofanyika hii leo Jijini Mwanza
Alphonce Tonny kutoka Metro Fm Mwanza (Kushoto) akiwa pamoja na Iman Hezron Kutoka City Fm Mwanza.
Warsha ya Wanahabari Kuhusu El-Nino na athari zake katika Mvua hapa nchini, iliyofanyika hii leo Jijini Mwanza
0 comments :
Post a Comment