Mbunge wa Jimbo la Bumbuli JANUARY MAKAMBA awahakikishia Ustawi wa Maendeleo yao Wananchi wa Kijiji cha MPUNDA

Nkupamah media:
Wananchi wa Kijiji cha Mpunda Kata ya Usambara wakimuonesha Mbunge wa Jimbo la Bumbuli January Makamba eneo ambalo Wakazi hao wamepewa na Kiwanda cha Katani ili wajenge Zahanati ya Kijiji.
Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, January Makamba akibadilishana namba za Simu na wananchi wa Jimbo lake ili kurahisisha Mawasiliano kati yake na wanakijiji hao, wakati alipofika katika Kijiji hicho kuangalia namna ya kutatua changamoto zinazowakabili kwa sasa.
Katibu wa Wilaya ya Lushoto Ramadhani Mahanyo akizungumza katika Mkutano huo.
Mbunge wa Jimbo la Bumbuli January Makamba akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Mpunda baada ya kumalizika kwa Mkutano huo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment