Meli kubwa ya kitalii MS Hamburg yatia nanga bandari ya Zanzibar Jana




Meli kubwa ya kitalii MS Hamburg imetia nanga bandari ya Zanzibar jana  asubuhi ikiwa na watalii zaidi ya 400. Ilitarajiwa kuondoka jioni jana  na kuendelea na safari yake.

Watalii hawa walishuka melini na kufanya safari za matembezi katika sehemu tofauti za kihistoria za mji wa Zanzibar na vitongoji vyake.

MS Hamburg ni meli ya kisasa ya kitalii inayomilikiwa  na Conti Group na husimamiwa safari zake na Plantours Kreuzfahrten pamoja na na Ocean Tours ikiwa ni sehemu kampuni ya Akorn group (a division of Abercrombie & Kent)
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment