NAIBU WAZIRI DK KIGWANGALLA AZINDUA ICU MPYA MUHIMBILI

Nkupamah media: 

nga1
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akizungumza LEO katika mkutano kabla ya uzinduzi wa chumba maalumu cha uangalizi wa wagonjwa wanaolazwa katika chumba hicho (ICU) katika Jengo la Mwaisela. Kulia ni Naibu Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangallah.
nga2
Rais wa Shirika lisilo la Kiserikali la Gastrenterology Foundation kutoka nchini Ujerumani, Profesa Meinhard Classen akizungumza LEO katika mkutano wa uzinduzi wa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).
nga3
Naibu Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangallah akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa ICU katika hospitali hiyo Leo. Dk Kigwangallah amemuagiza Kaimu Mkurugenzi wa hospitali hiyo kuongeza vitanda kwa ajili ya wagonjwa wanaolazwa ICU na kufikia 100.
nga4
Naibu Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangallah akikata utepe LEO kwenye Jengo la Mwaisela-Muhimbili ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa ICU hiyo.
nga5
Baadhi ya wauguzi na madaktari wakifuatilia mkutano huo leo
nga6
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment