Uchaguzi
wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam umefanyika leo katika Ukumbi wa
Karimjee ambapo kunapigwa kura ili kuchaguliwa kwa meya wa jiji.
Nkupamah media ilifanikiwa kufika katika Ukumbi wa Karimjee na imekuandalia picha
15 jinsi hali ilivyo nje ya ukumbi huo huku kukisubiriwa kufanyika kwa
uchaguzi.
Hata
hivyo katika hali isiyotegemewa waandishi wa habari kutoka vyombo
mbalimbali wame
katazwa kuingia katika ukumbi kwa madai kuwa tayari
wameshaingia waandishi wengi na hivyo hawawezi kuruhusu waandishi
wengine kuingia jambo ambalo limeonekana ni kuvunja haki ya waandishi wa
habari kutimiza majukumu yao ya kikazi.


0 comments :
Post a Comment