Muogeleaji nyota wa Tanzania Sonia Tumiotto awasili

01 
Katibu Mkuu wa klabu ya Dar Swim Club (DSC), Inviolata Itatiro (kushoto) akikabidhi shada la maua kwa muogeleaji aliyeshinda medali tatu mjini Dubai, Tumiotto (kulia) mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere jana. Kati kati ni katibu mkuu wa chama cha kuogelea (TSA), Ramadhan Namkoveka.
02Muogeleaji nyota wa Tanzania, Sonia Tumioto akizungumza huku akifuatiwa kwa umakini mkubwa na kocha wake, Michael Livingstone
03 
Kocha wa Sonia, Michael Livingstone akizungumza mara baada ya Sonia kuwasili huku Sonia akifuatilia.
04 
Katibu Mkuu wa chama cha kuogea Tanzania (TSA) Ramadhan Namkoveka akizunguza huku Sonia akisikiliza.
05 
Meneja wa timu ya Taifa ya Kuogelea, Leena Kapadia akizungumza mara baada ya kuwasili huku sokia (kulia) na kocha wake, Michae Livingstone akifuatilia.
06 
Picha ya pamoja baada ya Sonia kuwasili.
Picha na mpiga picha wetu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment