Yanga ilipokua ikijifua Uwanja wa Gombani Kabla Ya kukabiliana na Al Ahly Jumamosi Ya leo


 Timu ya Yanga ikiendelea na mazoezi ya mwisho Ijumaa kabla ya kukabiliana na Al Alhly Jumamosi katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Timu ya Yanga wakiwa katika mazoezi ya mwisho kabla ya kukutana na timu nguma ya Al Ahly Jumamosi wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Kocha Plum ndfani ya Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba walipopiga kambi kwa ajili kukabiliana na waarabu.

Picha na Abdi Suleiman, Pemba
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment