Van Gaal awasili uwanja wa mazoezi wa Man United, Carrington



Kocha wa Manchester United ambaye anahusishwa kutimuliwa kazi na nafasi yake kuchukuliwa na Jose Mourinho ameonekana akiwasli katika uwanja wa mazoezi wa Manchester United, Carrington.
Van Gaal ambaye wikiendi iliyopita ameiaidia Man United kushinda Kombe la FA hakujaweza kusaidia kusalia kwa kocha huyo kwa kile kinachosemwa kuwa ni kushindwa kuuridhisha uongozi na mashabiki wa Man United.
Mwandishi wa habari za michezo wa BBC, David Ornstein amepost video katika ukurasa wake wa Twitter ambao unamwnyesha Van Gaal akiwasili Carrington.
Aidha wakati Van Gaal akiwasili katika uwanja huo wa mazoezi, Kocha msaidizi wa ManchesterUnited, yan Giggs ameonekana akiondoka katika uwanja huo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment