WAZIRI MKUU NA MATUKIO BUNGENI LEO


ms1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge  wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 7, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ms2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   akizungumza na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 7, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ms3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Isimani na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 7, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ms4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka kwenye jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Septemba 7, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment