Wasira Hoi ........Mahakama Kuu yatoa maamuzi juu ya Ubunge wa Ester Bulaya


Leo November 16, 2016 Kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Ester Bulaya iliyofunguliwa na wapiga kura wa jimbo la Bunda dhidi ya aliyekua mgombea wa CCM Stephen Wasira imetolewa huku yake ambapo Mahakamu Kuu imempa ushindi na kumthibitisha Ester Bulaya kuwa Mbunge halali.
Maamuzi hayo yametolewa na Jaji Noel Chocha wa Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya kwenye hukumu ya kesi iliyosomwa kwa takribani masaa manne huku Jaji huyo akiyataja mapungufu yaliyopelekea kuona kesi hiyo haina msingi ikiwemo kupungua kwa wafungua mashtaka kutoka 12 mpaka kubakia wawili.
whatsapp-image-2016-11-18-at-2-49-14-pm whatsapp-image-2016-11-18-at-2-49-24-pm
0498e267-f5f5-4f7d-80c7-b75a5856ccd3
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment