Rais
John Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Ikulu
jijini Dar es salaam Desemba 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais John Magufuli akiteta na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Ikulu jijini Dar es salaam, Desemba 23, 2016.
Rais John Magufuli akiteta na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Ikulu jijini Dar es salaam, Desemba 23, 2016.
Rais
John Magufuli akizungumza na mtoto Doreen Ndika ambaye aliambatana na
baba yake, Jaji Dkt. Gerald Ndika aliyeapishwa na Rais `Ikulu jijini
Dar es salaam Desemba 23, 2016 kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments :
Post a Comment