Breaking News:Mbunge wa Kilombero Morogoro (CHADEMA ) ahukumiwa miezi 6 jela Bila Faini


Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Peter Lijualikali na Dereva wake, John Kibasa wamehukumiwa kwenda jela miezi sita bila faini kwa kosa la kufanya vurugu kipindi cha uchaguzi mwaka 2015.

Hukumu hiyo imetolewa leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kilombero na sasa amepelekwa gerezani huku taratibu za kukata rufaa zikiendelea.

Hukumu hiyo ilisomwa chemba lakini wabunge wawili wa Chadema Joseph Haule (Mikumi) na Ester Bulaya (Bunda Mjini) waliingia na kusikiliza hukumu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment