VIDEO: Askofu Mokiwa afafanua mgogoro unaoendelea kwenye kanisa la Anglikana



Baada ya Askofu Mkuu wa kanisa la Anglikana Jacob Chimeledya kumtaka Askofu mkuu Dayosisi ya Dar es salaam Valentino Mokiwa ajiuzulu kwa kile kilichodaiwa kuwa anatumia madaraka yake vibaya na ubadhirifu wa fedha.
Leo January 10 2017 Askofu Mokiwa amekutana na waandishi wa habari ili kutoa ufafanuzi kuhusu mgogoro huo unaoendelea kwenye kanisa hilo ambapo amekanusha na kudai kuwa migogoro hiyo inapandikizwa. Unaweza kubonyeza play hapa chini
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment